THE SOWERS GROUP

Tuesday, September 11, 2012

TATOO MPYA YA RIHANNA

Msanii anayefanya vizuri sana katika game la muziki pande za state American.Namzungumzia msichana anayeitwa kwa jina la Rihanna anayeondoka miondoko ya RNB siku za hivi karibuni msanii huyu alionekana amepiga tatoos mpya ambayo amepiga katikati ya kifua.
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...