THE SOWERS GROUP

Monday, December 31, 2012

Fiancial Aid

OfficeCalifornia community colleges are organized around several key ideas. One of them is to remove financial barriers to higher education by making tuition highly affordable. We're proud to be part of this success story.
And, we understand that the expense of education at a community college may still be beyond the means of some students. There are many forms of assistance available to students, including grants (funds the student does not need to repay) and loans (funds that the student is obligated to repay). In some cases, the student may qualify for a work-study program. Many of the loan opportunities are supported by Federal or State government programs. Some grants are funded by local scholarships, in some cases tied to a particular study discipline. StudentsIn planning your higher education, it is smart to consider all forms of assistance available to you. All of the student financial aid programs are administered by the individual colleges. You should contact staff in these offices to learn about the programs available to you and their eligibility requirements.

Kifaa cha Tablet kutoka Africa

Simu aina ya smartphone na kompyuta za tablet zinazosemekana kuwa vifaa vya mawasiliano vya kwanza kutengenezwa na kampuni ya Afrika zimezinduliwa. Vifaa hivyo, ambavyo vimebuniwa na mjasiriamali wa Congo,vinatengenezwa nchini China. Kampuni yake ya VMK, vifaa vyake vinaendeshwa kwa teknolojia ya Android ya Googles. Simu hizo za smartphone zitauzwa kwa bei ya rejareja ya dola $170, sawa na pauni za Uingereza (£105) na kompyuta itauzwa kwa dola $300 sawa na pauni (£185). "Ni Waafrika wenyewe, ndiyo watakaofahamu mahitaji ya Afrika," amesema Bwana Mankou katika mkutano wa Tech4Africa mjini Johannesburg. "Apple ni kampuni kubwa Marekani, Samsung ni barani Asia na tunataka VMK kuwa kampuni kubwa barani Afrika." Blogu ya teknolojia ya Smartplanet imeripoti kuwa kompyuta za VMK zinatoa huduma ya uunganishaji wa wi-fi na uwezo wa gigabytes 4 ambazo zimehifadhiwa ndani yake. Jina lake, Way-C, lina maana ya "mwanga wa nyota" katika lugha ya Kilingala. Simu hiyo ya smartphone nyuma na mbele ina kamera na skrini ya ukubwa wa inchi 3.5 sawa na sentimita 8.9. Verone Mankou
Kuna mipango ya kuuza simu hizi katika nchi kumi za Afrika Magharibi pamoja na Ubelhiji, Ufaransa na India. Bwana Mankou amesema anatarajia kuzindua uuzaji wa kompyuta za bei nafuu zaidi kwa wanafunzi mwaka ujao. VMK imesisitiza kuwa wakati bidhaa zake zinatengenezwa China kwa sababu za unafuu wa gharama, ubunifu na uhandisi wa simu hizo ni wa Kiafrika. Hii ni kutokana na baadhi ya watu au kampuni za biashara kupinga uwezo wa kampuni hiyo katika teknolojia ya simu na kompyuta. Kampuni ya VMK imesema kinyume na bidhaa nyingine za awali za simu na komputa zilizosemekana kuwa za Afrika, bidhaa za VMK hazifanani na bidhaa zozote za aina hiyo katika nchi nyingine.

Thursday, December 13, 2012

Gazeti la MWANANCHI nalo LILISHEHENI!!

NOTE: Habari hii imeshaondolewa katika tovuti ya Gazeti la Mwananchi (nafikiri ni baada ya kutambua kuwa haina ukweli wowote). Kwa bahati nzuri/mbaya, tayari iko kwenye rekodi zangu!

Monday, December 3, 2012

Alichokiandika Sophia-Kessy-on facebook -papa-kuingia-twitter-dec-3-2012

Mshindi wa Maisha Plus 2012, BERENIKI KIMIRO

Mshindi wa Maisha Plus 2012, BERENIKI KIMIRO ameanza kwa Kumshukuru Mungu kwa ushindi, asema ye si kitu kwa wenzake, hilo ni zali tu.. Amemshukuru baba yake mzazi kwa kumshauri kusali.. Amewashukuru pia wapenzi watazamaji kwa kumpiga kura, ameahidi kuendeleza kile alichokianza kijijini na kuitendea haki nchi yake.. Amemshukuru babu, Brother Masoud na Crew nzima ya Maisha Plus.. Amemshukuru pia mwanae Kelvin (6yrs) kwa kuvumilia kipindi chote bila kuongea na mama.. Amesema Mungu amejibu maombi yake kwani ukipiga goti, maombi yako yatajibiwa.. Tutawapa taarifa kupitia ukurasa huu kuhusu hali ya Bereniki ambaye kwa sasa anaonekana amezimia....

Saturday, December 1, 2012

THANK GOD

is another day God has made​​, thank god because there are those who want to see it but have failed. God is good to those who fear him.
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...